Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Nape: Sijakamatwa na Polisi....Nipo Protea

Nape: Sijakamatwa na Polisi....Nipo Protea

Written By Bigie on Thursday, March 23, 2017 | 4:29:00 PM

Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli leo kutengua uteuzi wa Waziri  wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo, Nape Nnauye....Mbunge huyo yupo hotel ya Protea tayari kwa kuongea na waandishi habari kuhusu uteuzi wake kutenguliwa

Akiwa njiani kuelekea Protea, zilisambaa habari kwamba amekatwa. Taarifa hizo amezikanusha kupitia mtandao wa twitter na kudai yuko salama


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya