Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mh Radhia Msuya akiongea na Watanzania waishio jimbo la Gauteng nchini humo kuhusu maswala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha umoja wao na kushirikiana kwa hali na mali
Balozi Radhia Msuya (kushoto) akiendelea na mkutano wake na Watanzania waishio Gauteng
Picha ya pamoja baada ya mkutano
Balozi Radhia Msuya na viongozi wa jumuiya ya Watanzania
waishio jimbo la Gauteng
Post your Comment


