Bw. Theodore Silinge Kulia Afisa misitu mkuu kutoka wizara ya nishati na madini, na Evelyn mkokoi Afisa habari ofisi ya makamu wa rais,wakifuatilia majadiliano ya mjadala wa mabadiliko ya Tabia nchi katika kundi la nchi za Afrika kwenye mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi unaoendelea mjini Bonn Ujerumani.Picha na Evelyn Mkokoi-Afisa Habari Ofisi ya Makamu wa Rais
Post your Comment


