Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » NAMBA YA SIMU YA DKT MWAKYEMBE KWA AJILI YA WANANCHI KUWASILIANA NAYE

NAMBA YA SIMU YA DKT MWAKYEMBE KWA AJILI YA WANANCHI KUWASILIANA NAYE

Written By mpekuaji on Sunday, June 10, 2012 | 10:56:00 AM

Picture
Katika mkutano wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, uliofanyika kwenye viwanja vya Jangwani hapo jana, Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe alitoa namba yake ya simu kwa ajili ya mawasiliano na Wananchi.

Alisema mwananchi anaweza kumpigia simu namba 0782 242 526 wakati wowote  atakapokumbana na adha yoyote kwenye sekta ya usafiri.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts