Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » SIASA NI KAMA DINI: WALITANDIKA MITENDE APITE JUU YAKE; AKAKETI KITAKO AKIZUNGUMZA NAO

SIASA NI KAMA DINI: WALITANDIKA MITENDE APITE JUU YAKE; AKAKETI KITAKO AKIZUNGUMZA NAO

Written By mpekuaji on Friday, June 8, 2012 | 9:50:00 PM

Ukiperuzi kitabu cha Biblia utakutana na simulizi zinazolandana na matukio kama yanayoonekana pichani.
Picture
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi, CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akipita juu ya khanga zilizotandikwa na akina mama wa Songea, Ruvuma (picha: blogu ya CCMChama )
Picture
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa akizungumza na vijana wa kijiji cha Mvuleni, jimbo la Mchinga, Lindi, baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. (picha: Joseph Senga via Francis Dande)
Picture
Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts