Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » TANGAZO RASMI KUTOKA WIZARA YA AFYA:

TANGAZO RASMI KUTOKA WIZARA YA AFYA:

Written By mpekuaji on Thursday, June 21, 2012 | 6:39:00 PM



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII:
 
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kuwajulisha wanafunzi wote waliohitimu vyuo vya afya nchini mwezi Machi 2012, kufika Wizarani ili waweze kuchukua barua za kupangiwa vituo vya kazi kabla ya tarehe 30 June,2012.

Pia waombaji wengine waangalie majina yao kwenye website ya Wizara www.moh.go.tz

Imetolewa na: 
Regina L. Kikuli. Kaimu Katibu Mkuu. 21/06/2012.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts