Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Rais Kikwete ahudhuria mazishi ya shemeji yake mjini Lindi leo

Rais Kikwete ahudhuria mazishi ya shemeji yake mjini Lindi leo

Written By mpekuaji on Monday, July 30, 2012 | 8:20:00 PM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amehudhuria mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45), aliyefariki Jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi.Pichani ni Rais Kikwete akishiriki katika swala ya kumuombea marehemu mjini Lindi leo.
Rais Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi, katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi leo Julai 30, 2012.PICHA NA IKULU.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts