Afisa Afya wa Mkoa wa Kagera, Herman Kabirigi amekanusha habari za kuwepo ugonjwa wa Ebola mkoani humo, ugonjwa ambao umeikunda nchi jirani ya Uganda.
Kabirigi amesema taarifa hizo si za kweli na kwamba mtoto huyo aliyewekwa kwenye uangalizi maalumu, hajafariki kama inavyoelezwa na baadhi ya watu.
Bofya kifute cha pleya kuisikiliza taarifa hiyo na nyinginezo.
Kabirigi amesema taarifa hizo si za kweli na kwamba mtoto huyo aliyewekwa kwenye uangalizi maalumu, hajafariki kama inavyoelezwa na baadhi ya watu.
Bofya kifute cha pleya kuisikiliza taarifa hiyo na nyinginezo.
Post your Comment


