Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » CHADEMA Morogoro wakamatwa kwa kukaidi amri ya kutokufanya mkutano

CHADEMA Morogoro wakamatwa kwa kukaidi amri ya kutokufanya mkutano

Written By mpekuaji on Sunday, August 5, 2012 | 12:20:00 AM


Askari Polisi wa Kikosi cha Pikipiki ‘Chita’ na ambao hujulikana kwa jina jingine ‘Foda Fasta’ wameyakamata magari ya CHADEMA, yaliyokokuwa yakipita mitaani eneo la mzunguko wa Masika yakitangaza juu ya kufanyika kwa maandamano na mkutano wa hadhara Agosti 4, mwaka huu katika eneo la uwanja wa Shule ya Kiwanja cha Ndege Mjini hapa ambao ulipangwa kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Chama hicho.

Magari hayo yalikamatwa na Mkuu wa Kituo Cha Wilaya cha Polisi wa Usalama Barabarani kutokana na kukaidi agizo la Polisi lakusitisha Mkutano huo.

Picha via blogu za Lukwangule na Juma Mtanda.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts