Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » DOGO JANJA NA MADEE WASAMEHEANA.....

DOGO JANJA NA MADEE WASAMEHEANA.....

Written By mpekuaji on Monday, August 20, 2012 | 1:13:00 PM

RAPA katika medani ya Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ amesema hana bifu na mkongwe katika tasnia hiyo, Hamad Ally ‘Madee’ na kudai kuwa yupo tayari kufanya naye kazi.

Wawili hao walikuwa na tofauti siku za hivi karibuni kutokana na Dogo Janja kujitoa kwenye familia ya Tip Top Connection na kukwaruzana na Madee, ambaye ndiye aliyemkaribisha kwenye familia hiyo awali.

Namuheshimu sana, Madee ni kaka yangu na sina bifu naye licha ya matatizo yaliyotokea hivi karibuni, nipo tayari kuimba nyimbo moja ya kushirikiana pamoja na kupanda jukwaa moja,” alisema Dogo Janja.


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts