Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » FIESTA 2012 NDANI YA MOSHI MCHANA HUU

FIESTA 2012 NDANI YA MOSHI MCHANA HUU

Written By mpekuaji on Thursday, August 23, 2012 | 3:55:00 PM

Sehemu ya Wanaharakati wa amsha amsha ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 wakiwa wamepozi mapema leo mchana mjini Moshi,mara baada ya kumaliza awamu yao ya kwanza ya kuruka hewani na amsha amsha ya tamasha hilo kwa wakazi wa mji wa Moshi,kutoka kulia pichani ni Bonge,Eric Kusaga,Simon Malenga sambamba na Millard Ayote wote kutoka Clouds FM.

Tamasha la Serengeti Fiesta ndani ya Moshi linatarajiwa kurindima ijumaa hii ndani ya Chuo cha Ushirika,ambapo kiingilio kimepangwa kuwa ni sh 5000 tu kwa kila mmoja,kama vile haitoshi kutakuwepo na wasanii lukuki wa bongofleva akiwemo na aliyeshiriki shindano la Big Brother Stargame,CMB Prezzoo.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts