Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Kitabu cha "Lighting Fire" cha Wanasayansi Mabingwa Watanzania chazinduliwa

Kitabu cha "Lighting Fire" cha Wanasayansi Mabingwa Watanzania chazinduliwa

Written By mpekuaji on Friday, August 3, 2012 | 5:14:00 AM

Picture
L-R: Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Makame Mbarawa akipiga makofi wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua kitabu kiitwacho "Lighting Fire" kilichoandikwa na wanasayansi 31 mabingwa wa Kitanzania, kwenye ukumbi wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Tekinolojia, Kijitonyama jijini Dar es Salaam, siku ya Agosti 2, 2012. Aliyeo kulia ni Rais wa Tanzania Academy of Science (TAAS), Profesa Esther Mwaikambo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts