Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » UFAHARI WA MAGARI YA KUKODI WAMPONZA JACK WA CHUZ

UFAHARI WA MAGARI YA KUKODI WAMPONZA JACK WA CHUZ

Written By mpekuaji on Wednesday, August 29, 2012 | 4:52:00 AM





MWIGIZAJI wa Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukodi gari aina ya Totota Spacio lenye namba za usajili T 750 BPK na kushindwa kulipa.

Mpekuzi iliambiwa na aliyemkodishia kuwa Jack Chuz alipewa gari hilo alitumie kwa siku tano kwa makubaliano ya kulipa elfu 50 kwa siku lakini zilipomalizika, alilirudisha na nusu ya fedha hivyo anasakwa na polisi kwa jalada la kesi namba RB/CH/ 6031/2012 



Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts