Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » UPDATE: CCM YAKATA RUFAA KESI YA UCHAGUZI WA IGUNGA

UPDATE: CCM YAKATA RUFAA KESI YA UCHAGUZI WA IGUNGA

Written By mpekuaji on Wednesday, August 22, 2012 | 3:45:00 PM

Chama Cha Mapinduzi kimetafakari hukumu ya kesi ya uchaguzi iliyotolewa jana Agosti 21, 2012 na Mahakama Kuu kanda ya Tabora.

Kimejiridhisha na kufanya uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kesi ya uchaguzi, dhidi ya Mbunge wa jimbo la Igunga mkoani Tabora Dokta Dalaly Peter Kafumu.

Kusudio hilo linatokana na kutorishwa na hukumu hiyo.

Imetolewa na;-

Nape Nnauye

KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM WA ITIKADI NA UENEZI
22/08/2012

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts