Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , » HATIMAYE PICHA YA PREZZO NA GOLDIE AKIWA JIJINI NAIROBI YASAMBAA MITANDAONI

HATIMAYE PICHA YA PREZZO NA GOLDIE AKIWA JIJINI NAIROBI YASAMBAA MITANDAONI

Written By mpekuaji on Thursday, September 20, 2012 | 2:20:00 AM




Hivi karibuni kituo cha Channel O kilikuwa jijini Nairobi kikiwa na mastaa kibao wa Afrika na kurekodi O News kwenye ukumbi wa KICC. 


Mastaa hao ni pamoja na Channel O VJs Denrele wa Nigeria, Jokate, J Town wa Ghana na Flavia wa Uganda.
Kulikuwepo pia na wasanii kama Khuli Chana wa Afrika Kusini, Banky W wa Nigeria na Wizkid.

Lakini pia kulikuwepo na ujio wa Goldie ambaye alienda kimya kimya. 

Kuna picha ilisambaa wiki hii inayomuonesha msichana mwenye nywele kama za Goldie akiwa na Prezzo japo sura haikuwa inaoenaka. 

Sasa kumepatikana picha inayowaonesha vizuri mastaa hao na kuthibitisha tetesi hizo huku ikionesha kuwa wapenzi hao wa BBA wanaelewana vizuri kwa sasa

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts