Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » SKENDO ZASABABISHA AUNT LULU APORWE BWANA

SKENDO ZASABABISHA AUNT LULU APORWE BWANA

Written By mpekuaji on Thursday, September 20, 2012 | 11:56:00 AM


MREMBO aliyetambulika kwa jina la Fatma Mchina ambaye huko nyuma alikuwa aolewe na Tevez amekiri yeye ndiye aliyemnyang’anya bwana Kimwana Manywele 2006, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’.

Akipiga  stori na mpekuzi wetu siku chache baada ya kuripotiwa kwenye gazeti kuwa demu huyo na Aunty Lulu wamegombania pedeshee, Fatma alifunguka kuwa ni kweli amemnyang’anya Aunty bwana’ake lakini akasema na si pedeshee.


“Nilipoachana  na Tevez, nilinasa kwa Bond bin Salim, ni kweli alikuwa mchumba’ake, lakini alikuja kwangu baada ya kuchoshwa na vituko vya Aunty Lulu, sasa namshangaa anataka vita na mimi, anajisumbua tu haniwezi kwa lolote,” alisema Fatma.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts