Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » WAFANYAKAZI WA EATV WAJITOSA NA KUTEMBEA JUU YA MOTO

WAFANYAKAZI WA EATV WAJITOSA NA KUTEMBEA JUU YA MOTO

Written By mpekuaji on Monday, September 24, 2012 | 2:59:00 PM


Uanaume wa shoka
Wafanyakazi wa East Africa TV juzi walilazimika kutembea juu ya moto kama ishara kuwa wanaweza kukabaliana na changamoto zozote wanazokutana nazo mbele.

Zoezi hilo limefanyika baada ya kupewa semina ya siku mbili kutoka kwa wahamasishaji wa Peak Perfomance.

“Kutembea juu ya moto ilikuwa ni kuhamasisha moyo wa kujiamini na kuthubutu. Walilenga kumpa kila mtu morale ya kujitambua kuwa ana uwezo wa kufanya kitu unachohofia kuwa huenda huwezi kujichanganya,” alisema mmoja wa wafanyakazi wa EATV.

Unaweza kutembea juu ya moto?
Uanaume wa shokaCameraman wa EATV, Ombeni akimaliza zamu yakeDada upande wa kushoto maumivu yalimwelemeaHakuna kuremba (600x800)
Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts