Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » WAISLAMU WAFANYA MAANDAMANO JIJINI DAR KULAANI FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME MOHAMMAD

WAISLAMU WAFANYA MAANDAMANO JIJINI DAR KULAANI FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME MOHAMMAD

Written By mpekuaji on Saturday, September 22, 2012 | 1:22:00 PM


 
Baadhi ya waislamu wakiwa na mabango yanayolaani filamu ya kashfa dhidi ya Mtume (S.A.W).
Mmoja wa waislamu akionyesha hisia zake wakati wa mkutano.
Askari wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU) wakidumisha ulinzi eneo la mkutano.
Waislamu wakizidi kulaani kashifa hizo kwa nguvu zote.

MAMIA ya waumini wa dini ya Kiislamu leo wamefanya mkutano katika Uwanja wa Kidongo Chekundu uliopo jijni Dar es Salaam wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali wa kulaani filamu ya kumkashifu Mtume Mohammad. 

Katika mkutano huo viongozi wa dini hiyo walitoa tamko lenye vipengele kadhaa, ikiwemo kuiomba serikali kuufunga mara moja Ubalozi wa Marekani nchini.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts