Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , » BANANA AKERWA NA MIMBA YA DADA YAKE

BANANA AKERWA NA MIMBA YA DADA YAKE

Written By mpekuaji on Thursday, October 25, 2012 | 2:06:00 PM






MMILIKI wa B-Band, Banana Zorro amefunguka la moyoni kuwa, mimba aliyopata dada’ke, Maunda Zorro mwaka jana ilikuwa ikimkera hivyo akamnunia.
Akisemezana na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar juzikati, Banana alisema kuwa kwa kipindi kile hakutarajia kama mdogo wake angepata ujauzito ndiyo maana baada ya kupata taarifa hiyo alikasirika.

“Kusema ukweli hata yeye baada ya kupata ujauzito hakuweza kuniambia moja kwa moja, akamwambia mke wangu, nilikereka sana lakini nilimsamehe baada ya kupata mtoto,” alisema Banana.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts