Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , , , » PENZI LA SHILOLE NA BARNABA LAREJEA KWA SIRI

PENZI LA SHILOLE NA BARNABA LAREJEA KWA SIRI

Written By mpekuaji on Thursday, October 25, 2012 | 10:58:00 AM


KUNA tetesi kuwa, penzi lililokuwa limekufa kati ya mwigizaji wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Mbongo Fleva, Elias Barnaba limerejea kwa ari, nguvu na kasi mpya.


“Hivi karibuni wawili hao walionekana chobingo, Mbeya kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta na hata Dar pale Leaders Club, walikuwa "close" nyuma ya jukwaa katika gari la Shilole,” alisema mpashaji wetu.


Mwanahabari wetu aliwatafuta hewani wote, lakini Shilole ndiye aliyepatikana, akafunguka:

“Kwani tatizo lipo wapi tukirudiana? Mbona hamuwashangai akina Chris Brown na Rihanna? Mapenzi ni upofu acheni hizo,” alisema Shilole. 

 

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts