Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , , » MDOMO WAMPONZA CHAZ BABA.......NI BAADA YA KUTANGAZA KUMUOA LULU MICHAEL NA MAMBO KWENDA KOMBO

MDOMO WAMPONZA CHAZ BABA.......NI BAADA YA KUTANGAZA KUMUOA LULU MICHAEL NA MAMBO KWENDA KOMBO

Written By mpekuaji on Thursday, October 25, 2012 | 10:45:00 AM

RAIS wa Bendi ya Mashujaa Musica, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ yupo kwenye gogoro zito na wanawake aliozaa nao, mama Jack na mama Carina baada ya hivi karibuni kutangaza ndoa na staa wa filamu aliye gerezani, Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Akiongea na mwandishi wa habari hii,  Chaz Baba alisema katika stori za magazetini kwa mwaka huu, ya kumuoa Lulu imemfikisha pabaya.

“Ilipotoka tu ile habari, wakanipigia simu kila mmoja kwa wakati wake, maswali mengi, nilijaribu kuwaweka sawa lakini hakuna aliyenisikiliza zaidi ya kunikatia simu,” alisema Chaz Baba.



Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts