Habari mpya kutoka kwa Lord Eyez baafa ya kuchonga nasi kuhusiana na watu kumuhusisha na utumiaji wa Madawa ya kulevya aliweza kufunguka na kuweka wazi kwa kusema,“Kiukweli mimi sijihusishi kabisa na utumiaji wa madawa ya kulevya na wala si support watu watumie kwani utumiaji wa madawa ni hatari ”- Lord Eyez.
Post your Comment



