Habari mpya kutoka kwa msanii huyu baada ya kushiriki tuzo za RFA, siku ya leo aliweza kuchonga namwandishi na akafunguka na kusema tuzo hizi zimemfanya ajulikane kimataifa kwani alijikuta akipigiwa simu tofauti na watu mbalimbali kuhusiana na ngoma yake inayojulikana kwa jina la Niamini.
“Pia nilikuwa napata simu nyingi huku wengine wakiomba nifanye nao kazi, kupitia tuzo hizo kwa namna moja au nyingine naanza kuona mafanikio yanakuja na siku za usoni nitaweza kuipeperusha bendera ya Tzee kimataifa kupitia muziki wangu”- added Ditto.
Post your Comment



