Ni vigumu sana kuushuhudia unyama na ukatili kama huu ukitendwa mbele ya binadamu mwenzako.....
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizobarikiwa na kujaliwa AMANI...Ni vema tukaitunza AMANI hii maana vitu si kitu cha kitoto......
Watu ambao huathirika na kuumia ni sisi watu wa chini ambao hatuna kitu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA...
Post your Comment



