Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Kumbeee....Bifu ya Vanessa Mdee na Shilole ilikuwa Kiki Tu

Kumbeee....Bifu ya Vanessa Mdee na Shilole ilikuwa Kiki Tu

Written By Vuvuzela on Friday, May 27, 2016 | 1:40:00 PM


Siku hizi kutafuta Kiki hata kwa kutukanana na mabeef imekuwa kitu cha kawaida kwa wasanii wetu hapa Tanzania...

Unaambiwa Ile bifu ya Wanamuziki warembo wawili Vanessa Mdee na Shilole imekuja kubainika kuwa ilipangwa ili kuvutia watu katika Show yao ya pamoja inayotarajiwa kufanyaka Club ya Bilcanas jijini Dar Jumapili hii...
 
Kwenye show hiyo Vanessa Mdee na Shishi Watapanda jukwaani kuonyeshana nani mkali kati yao..

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts