Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Mahaba ya Harmozine kwa Wolper: Siku zinavyozidi kwenda nazidi kukuona mpya

Mahaba ya Harmozine kwa Wolper: Siku zinavyozidi kwenda nazidi kukuona mpya

Written By Vuvuzela on Wednesday, June 29, 2016 | 5:05:00 PM


Muimbaji huyo amewaziba mdomo mashabiki ambao wanabeza uwamuzi wake wa kutoka kimapenzi na mwanamke aliyemzidi umri.Harmonize alipost picha ya Wolper instagram na kuandika:
"Get well soon mami…. siku zinavyozidi kwenda nazidi kukuona mpya…..!!! hivi kina miaka ngapi hiki kitoto …..??? 13 au 14 mana nami kwa kusahau."
Kauli hiyo imeonyesha kuwatoa povu baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii.Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki hao:

Alwatan_de_don:Sikuzote MTU akikosea njia ndo anajifanya haoni eti umri wake miaka mngapi,,,, vijimambo hv
 

Neema3071:Heshima pesa shikamoo makelele age namba tu lkn ukimchek kama anamiaka20 hiv matuzo tu poleen wenye majungu
 

hendrickanthony2016:Kwan miaka its just a number hats Bibi kizee anaweza akampenda mtoto wa miaka mi5, mapenz hayajal umri its a Mata of loving each other,,, nakupenda bro @harmonize_tz & CcY Ake @wolperstylish

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts