Rapa kala Jeremiah na Roma Mkatolikia walikuwa wakichota
busar za Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa walipomtembelea nyumbani
kwake jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa wasanii hao, walifanya
mazungumzo na Lowassa ingawa hawakueleza walichozungumza na
mwanasiasa huyo mkongwe aliyegombea urais mwaka jana kwa tiketi ya
Chadema akiungwa mkono na vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa.
“VIJANA WANAPOKUTANA NA MZEE. #MUNGU IBARIKI TANZANIA,” aliandika Kala Jeremiah kwenye picha waliopoz na Lowassa.
Naye Roma Mkatoliki amepost picha na kuandika #DoneTheMeeting With Hon.
#E_LOWASA.
Post your Comment




