Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Young Killer Atamani kujiunga na lebo ya WCB

Young Killer Atamani kujiunga na lebo ya WCB

Written By Vuvuzela on Friday, July 15, 2016 | 9:37:00 AM


Hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kuwa huenda Young Killer atakuwa miongoni mwa wasanii atakayeungana na timu ya WCB.

Sasa July 14, 2016 chanzo chetu kilimpata Young Killer na kueleza tetesi hizo na kusema..‘Hizo taarifa si za kweli maana watanzania wanakuambia tuletee picha halafu wao watapata maneno ya kuandika hii ilitokana na ile picha niliyopiga na Diamond Platnumz kipindi nilivyoenda ofisini kwake, lakini siko kwenye lebo ile ile ikitokea naingia natamani kufika mbali kimuziki’- Young Killer



Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts