Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Bondia maarufu Tanzania Thomas Mashali afariki Dunia

Bondia maarufu Tanzania Thomas Mashali afariki Dunia

Written By Bigie on Monday, October 31, 2016 | 9:25:00 PM


Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo October 31 2016 maeneo ya Kimara DSM, 

Taarifa zinadai kuwa alishambuliwa na wananchi baada ya madai ya kuitiwa mwizi.

Taarifa kutoka kwa Promota wake, Siraji Kaike amesema watu aliokuwa anagombana nao walimwitia mwizi na wakawa wamemshambulia na kumtupa baadaye bodaboda waliokuwa wanamjua Thomas Mashali walimuokota na kumpeleka hospitali ambapo baadaye zilitolewa taarifa kuwa amefariki.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya