Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Picha 6: Rais Magufuli alivyowasili Nairobi nchini Kenya

Picha 6: Rais Magufuli alivyowasili Nairobi nchini Kenya

Written By Bigie on Monday, October 31, 2016 | 9:26:00 PM

Leo October 31 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta.

Rais  Magufuli  amewasili Nairobi kenya kwa ziara hiyo na amelakiwa na mwenyeji wake Rais uhuru kenyatta.


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya