Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Ujumbe wa Rais Magufuli kwa Watanzani katika siku yake ya kuzaliwa

Ujumbe wa Rais Magufuli kwa Watanzani katika siku yake ya kuzaliwa

Written By Bigie on Saturday, October 29, 2016 | 2:29:00 PM

Leo Oktoba 29 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli ambapo alizaliwa Oktoba 29, 1959. 
 
Rais Magufuli alizaliwa mkoani Geita na kitaaluma yeye ni mwalimu aliyebobea katika somo la Chemistry.
 
Katika siku yake hii ya kuzaliwa, Rais Magufuli amewashukuru Watanzania wote kwa kuendelea kumuombea ambapo amesema kuwa ataendelea kufanyakazi kwa bidii na kuwatumikia watanzania wote kwa ajili ya maendelo ya nchi.
 
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Rais Magufuli ameandika jumbe hizi;

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts