Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » LORI LAPINDUKA NA KUUA MMOJA MAENEO YA GAIRO

LORI LAPINDUKA NA KUUA MMOJA MAENEO YA GAIRO

Written By mpekuaji on Sunday, May 6, 2012 | 1:59:00 PM

 Lori la Mizigo lenye nambari za usajiri T 688 ABA,ambalo limepinduka usiku wa kuamkia leo eneo la kijiji cha Taboteri,Gairo Mkoani Morogoro na kusababisha kifo cha mtu mmoja ambaye hakuweza kutambulika jina lake (kutokana na kwamba alikuwa ameomba lift tu) na kujeruhiwa kwa dereva wa lori hilo ambaye alivunjika mkono na kupelekwa hospitali.
 Utaratibu wa Kulinyanyua Lori hilo ulianza mara moja baada ya kufika kwa jamaa hawa wa Break Down.
 Break Dowm ikiendelea kunyanyua Lori hilo.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts