Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » STELLA AGUSTINO NDIYE MISS ILEMELA 2012

STELLA AGUSTINO NDIYE MISS ILEMELA 2012

Written By mpekuaji on Tuesday, May 29, 2012 | 9:41:00 AM

Mshindi wa taji la miss Ilemela 2012 Stella Agustino (katikati) akiwa na mshindi wa pili Hapiness (kushoto) na mshindi wa tatu
Warembo walioingia kumi bora miss Ilemela 2012.
Sharowbarow President Bob junior akimalizaaaaa...
Flash na sehemu ya Gold Crest Hotel.
Mshiriki namba 3.
Mshiriki namba 9.
Mshiriki namba 4.
Pichani huyu si mshiriki miss Ilemela 2012 bali ni sehemu ya Onyesho la mavazi ya Harusi toka Munira Classic.
Mc wa tukio Mr. G. Sengo toka Clouds Fm Mwanza.
Meza ya majaji chini ikitafakari muonekano wa kwanza kupitia open show ya Miss Ilemela 2012.
Ze pipooo.
Wadadaz wakipata flash kwa blog....
Hapa Chief Judge Muhksin Mambo toka Star Tv (nyuma ya mshiriki no 7) alipokuwa akitaja kumi bora.
Ze flawaz..
Kipaji toka moyoni mshiriki wa kinyang'anyiro miss Ilemela Stela akionyesha kipaji cha kucheza wimbo wa Fally Ipupa - Bakanja.
Mshiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Ilemela  Hapiness akichora ndani ya kuonyesha vipaji.
Kipaji toka moyoni mshiriki Zaifath kipaji cha kuimba.
Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi nafasi ya 3 cheki ya shilingi laki mbili.
Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi wa nafsi ya pili Hapiness, cheki ya shilingi laki tatu.
Afisa Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi Miss Ilemela 2012 Stella Agustino, cheki ya shilingi laki tano.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts