Taarifa ambazo zimeifikia blog hii kutoka pande za uwanja wa ndege wa JK Nyerere zinasomeka kuwa Dogo Janja ametua mida ya saa 4:30 kwa pipa (ndege) na kulakiwa na mashabiki wake wliojitokeza kwa wingi.
Akiwa jijini Arusha kabla ya kuanza safarai yake hii ya leo jana Dogo janja aliiposti kupita BBM maneno yaliyosomeka “Ki2 cha dua nini home lazima kieleweke” akimaanisha kuwa yuko kwenye kuomba dua ili safari yake ibarikiwe.
Post your Comment


