Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Waziri Mwakyembe Apanda Treni Kwenda Bungeni

Waziri Mwakyembe Apanda Treni Kwenda Bungeni

Written By mpekuaji on Tuesday, June 12, 2012 | 7:48:00 PM


Habari za kuaminika zimeifikia Blog ya Mpekuzi kwamba Yule Waziri wa Uchukuzi Mh. Dr. Harrison Mwakyembe amepanda Treni ya Reli ya Kati kuelekea kwenye kikao cha Bunge. Sasa wadau tusubiri atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake hii ya aina yake kwa Mh. Mwakyembe

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts