Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » "SANAA HAIWEZI KUNIFANYA NIMSALITI MUME WANGU"...CHUCHU

"SANAA HAIWEZI KUNIFANYA NIMSALITI MUME WANGU"...CHUCHU

Written By mpekuaji on Monday, September 24, 2012 | 2:33:00 PM

Chuchu Hans
Chuchu Hans mwigizaji wa filamu

PAMOJA na kukiri kupewa uhuru wa kutosha na mumewe Frank Mtao, mkali wa filamu, Chuchu Hans amefunguka kuwa hawezi kutoka nje kama mastaa wengine wanavyoandamwa na skandali hiyo.
Chuchu Hans


Chuchu aliiambia Mpekuzi kuwa anajitambua yeye ni nani katika jamii hivyo skendo haiwezi kumpata hata siku moja kwani hana tamaa ya fedha kama wengine.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts