Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » "WATU HUTUCHUNGULIA NYETI ZETU TUKIWA JUKWAANI".....SHILOLE

"WATU HUTUCHUNGULIA NYETI ZETU TUKIWA JUKWAANI".....SHILOLE

Written By mpekuaji on Tuesday, September 25, 2012 | 8:52:00 PM

STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema suala la kuripotiwa kuwa wanavaa utupu linasababishwa na baadhi ya watu wanaopenda kuwachungulia wasanii wanapokuwa jukwaani na kuwapiga picha.

Akizungumza na Mwandishi wetu, Shilole amesema watu hao wanatabia ya kuwachungulia kwa chini huku ‘wakiwafotoa’ picha na ndiyo chanzo cha matatizo mengi ya skendo zinazopamba mitandaoni kila kukicha.


“Yaani hili nimelishuhudia kwa macho yangu mtu anakuchungulia kwa chinichini halafu akikuotea vizuri ndiyo madhara yanakuwa makubwa kama tulivyoona kwa baadhi ya mastaa,” alisema Shilole.



SWALI:
Kwa  nini wasanii  mnavaa nguo fupi?
Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts