Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » USAILI WA MAISHA PLUS 2012 DAR WAVUNJA REKODI......

USAILI WA MAISHA PLUS 2012 DAR WAVUNJA REKODI......

Written By mpekuaji on Tuesday, September 25, 2012 | 9:53:00 PM


Zile auditions za reality show ya Maisha Plus 2012 ambayo tayari imeanza kuruka kupitia TBC1 kila siku kuanzia saa 4 usiku, zimefanyika jana pale Millenium Tower.

Hivi ndivyo watu walivyojitokeza kwa wingi katika auditions hizo. Waandaaji wanasema walitarajia kupata washiriki wengi lakini hawakutegemea wangekuwa wengi kiasi hiki hivyo idadi hii kubwa ya waliojitokeza hapo jana imevunja rekodi.


Leo ni siku ya pili ya auditions hizo ambazo zilipangwa kufanyika kwa siku mbili.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts