Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » SEHEMU YA NNE YA TAMTHILIA YA "SIRI YA MTUNGI"

SEHEMU YA NNE YA TAMTHILIA YA "SIRI YA MTUNGI"

Written By mpekuaji on Friday, February 8, 2013 | 9:57:00 PM


Fikra pekee inayomsumbua Kizito ni jinsi atakavyoweza kumwoa Nusura, binti mrembo wa mmiliki wa mabanda, Masharubu. Mjomba Mawazo ana wakati mgumu wa kujadiliana na Masharubu mwenye tamaa ambaye yuko tayari kumwozesha binti yake kwa mahari kubwa mno.

Cheche bado inamuwia vigumu kuweka uwiano kati ya biashara yake na familia, na muda wa Cheusi unapotezwa kwa kuwaangalia watoto wake wawili watundu na mimba yake. Cheche anapata faraja kwa Tula kwenye Kigrosari chake, huku baadae studio yake 'ikisambaratishwa' na shangingi linalojiita Lulu linapovamia toka kusikojulikana na kudai apatiwe huduma!

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts