Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Mwasiti- Siwezi kumuimbia wimbo mwanaume, ‘never’

Mwasiti- Siwezi kumuimbia wimbo mwanaume, ‘never’

Written By Vuvuzela on Thursday, June 23, 2016 | 10:10:00 AM





Akijibu swali la kama wimbo wake mpya ‘Unaniangalia’ amemuimbia mwanaume, Mwasiti alisema haitokuja kutokea.

“Sijamuimba mtu yeyote naomba niklie hiyo issue, hiyo ni sanaa,” amesema.

“Sitegemea kumuimba mtu yeyote katika career yangu labda nitamuimbia mwanangu na mama yangu. Siwezi nikamuimbia mwanaume kabisa nikakaa chini nadraft hivi, hapana,” aliongeza.

Miongoni mwa mashairi yaliyozua utata kwenye wimbo huo ni pamoja na: Wala hukunipenda mimi,We ulitamani wa mjini, Wamekupiga chini,Unanifuata mimi wa nini!?

Mwasiti aliwahi kuhusishwa kuwa na uhusiano na mtangazaji wa EATV, Sam Misago.


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts