Baada ya kuzozana na vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii,
na kupinga kwa muda mrefu kuwa hatumii dawa za kulevya, hatimaye leo
Rapper Young Dee amekiri kuwa amekuwa akitumia dawa za kulevya kwa mwaka
mmoja sasa na amepata msaada kutoka katika vituo vya kutolea tiba ili
kuweza kuachana na dawa hizo.
Aidha ameeleza kuwa kuwa vile hakuwa amefikia katika hatua mbaya, ilikuwa rahisi kwake kuacha dawa hizo.
Post your Comment



