Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Sita ( 26 )

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Sita ( 26 )

Written By Bigie on Saturday, March 10, 2018 | 2:18:00 PM

AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA

“Anaitwa nani?”
“Anaitwa RAHMA anasoma kidato cha nne”
Nikajikuta nimekaa kimya nikimtazama mkuu wa shule huku nikijiuliza kama akili zake zinafanya kazi sawa sawa au ndio uzee unamchanganya

ENDELEA
Nikakaa kimya huku nikimtazama mkuu wa shule machoni kwani sikujua ni nini nimuambie
“Eddy ukihitaji hata pesa mimi nitakupatia ili tu nimpate Rahma”
“Ila mkuu mbona msichana mwenyewe simuoni hapa shule”
“Amesafiri ila akirudi tu nataka niweke mambo sawa”
“Usijali mkuu wangu”
 
Nikajikuta nikinyanyuka kwenye kiti nilicho kaa na kumuaga mkuu wa shule na kumuahidi nitalifanyia kazi na nikarudi ofisini kwa waalimu wengine na kuwakuta kila mmoja akiendelea na shuhuli yake kutokana sikuja kikazi nikabaki nikiwa ninajisomea baadhi ya vitabu vinanavyohusiana na masomo yangu ninayo yafundisha.Simu yangu ikaingia ujumbe mfupi wa meseji na nikakuta ni namba ya Rahma
“BABY UWAHI KURUDI NIPO NYUMBANI KWAKO NA HALDA”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio baada ya kuona saa ya kwenye simu yangu inaonyesha zimabaki dakika kumi kutimu saa sita kamili kabla haujafika muda tulio ahidiana na mchungaji juu ya kwenda kufanya mamombi ambayo kwa wakati huu kwangu sikuyaona na umuhimu wa aina yoyote kwani mchungaji mwenyewe anaushirikiano na Olvia Hitler.Nikanyanyuka kwa haraka na kabla sijaufikia mlango wa kutokea ofisini simu yangu ikaita na kuikuta ni namba ya mchungaji,nikabaki nikiitazama pasipo kuipokea na kumfanya madam Recho kuzungumza
 
“Jamani si mzime misimu yenu inatupigia kelele”
Niakageuka na kumtazama madam Recho na sikuseme kitu cha aina yoyote zaidi ya kuminya kitufe cha kupokelea simu na kuiweka sikioni na kuisikia sauti ya mchungaji
“Mpendwa tumefika nyumbani kwako tupo hapa getini tunaomba utufungulie mlango kwa maana tunapiga honi nahisi uisikii kutokana na mziki ulio ufungulia kwa sauti ya juu”
“Ahh...Sawa mchungaji nakuja”
Nikakata simu na kubaki nikiwa nimetizama chini huku nikishush pumzi na sikujua nifanye nini kuhusiana na swala la kwenda nyumbani kwa kwangu kwani hali ya hewa imesha haribika.
 
“Eddy unapakwenda?”
Mkuu wa shule aliniuliza na nikamjibu kwa kutingisha kwichwa nikiashiria kuwa sina pa kwenda
“Basi twende sehemu moja kama huto jali”
“Sawa mkuu”
Tukatoka ofisini na kuingia kwenye gari ya mkuu wa shule na sikujua ni wapi tunakwenda na ndani ya gari sikuzungumza kutu cha aina yoyote hadi tukafika kwenye moja ya mtaa ambao sikuujua jina lake na sote tukashuka kweye gari na mkuu wa shule akaminya kengele ya getini kwenye nyumba nzuri na baada ya muda geti likafunguliwa na akatoka msichana mdogo anaye onekana ni mfanyakazi wa ndani na baada ya kumuona mkuu wa shule akaanza kumchangamkia huku wakitaniaana kwa baadhi ya maneno kisha akatukaribisha ndani na moja kwa moja tukapitiliza hadi sebleni na tukakaa kwenye sofa na msichana wa kazi akasimama na kuiwasha tv iliyopo ukutani na kuaanza kuadilisha badilisha chaneli zilizopo kweye king’amuzi wanacho kitumia
 
“Babu siku hizi mambo yako sio mabaya naona dada akakupendezesa ana”
“Kawaida babu yangu”
“Mmmm kweli ni kawaida kwani hiyo inye uliyo ifungashia utaweza kusema kuwa wewe ndio mwenye nyumba”
“Babu jamani hujaacha vituko vyako?”
“Ndio ukweli na siku hizi unanga’aa sana”
“Asante”
“Haya huyu mwenzako yupo wapi?”
“Dada amekwenda hospitalini mara moja ila muda si mrefu atarejea”
“Ahaa amakwenda hospitali gani?”
“Buriani”
“Eddy hapa ni nyumbani kwa  madam Rukia”
“Ahaaa asante”
Mfanyakazi wa ndani akaondoka na kwenda jikoni na kutuacha tukia tunatazama Tv baada ya muda kidogo mkuu wa shule akanyanyuka na kuniambia anakwenda mara moja jikoni kuzungumza na mfanya kazi wa ndani.Nikabaki nikitazama Tv galfa nikasikia simu yangu ikiita na nikaitoamfokoni na kuikuta ni namba ya mchungaji,Sikutaka kuipokea nikaiweka simu pembeni huku nikitafakari ni kitu gani nifanye.

Simu ikaita kwa mara tatu mfululizo na sikuipokea na kwabahati nzuri ikaanza kutoa ishara ya kuishiwa na chaji na taratibu nikanyanyuka na kuelekea jikoni kumuuliza mfanyakazi wa ndani kama anaweza kunipatia chaji ya pini nyembamba,Kila ninavyo karibia kufika jikoni nikazidi kuisikia miguno ya watu kulalamika ikanilazimu kunyata taratibu na kwakupitia kajiuwazi ka dirisha nikamuona mkuu wa shule akinyonya maziwa ya mfanyakazi wa ndani anayeonekana kulegewa na kunogewa na penzi la mkuu wa shule.

Taratibu nikaanza kuhisi mabadiliko kwenye suruali yangu kwani koki yangu taratibu imeenza kuleta fujo.
Mkuu wa shule akaimalizia khanga ya mfanyakazi wa ndani katika kuivua na kuitupa china na kumfanya mfanya kazi wa ndani kuzidi kutoa miguno kiasi kwamba nikazidi kupata shinda kwenye suruali yangu,akili yangu moja ikanituma niingie na mimi nijumuike ila akili yangu moja ikasita kulifanya ninalo lifikiria na kubaki nikiendelea kuwatazama kwa jinsi wanavyo fanya yao na kujikuta nikilisogelea dirisha la jikoni vizuri ili nioene kila kitu.

Mkuu wa shule mkono wake mmoja akauiniza kwenye ikulu ya mfanyakazi wa ndani iliyo zungukwa na ukuta wa chupi nyembamba na kuanza kuichezea ikulu ya mfanya kazi huyo na kumfanya taratibu kuanza kwenda chini huku akitoa vilio vya raha hadi wote wakajikuta wamelala sakafuni kisha mkuu wa shule akaipanua miguu ya mfanyakazi wa ndani kisha akamvua chupi yake na kuendelea kuichezea ikulu ya mfanyakazi wa ndani kiasi kwamba mfanyakazia akanyanyuka kama mbogo mwenye hasira na kuyashika mashavu ya mkuu wa shule na kuikutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana kisha kwa nguvu akamlaza mkuu wa shule chini na kuvifungua vifungo vya shati kisha akaanza kumnyonya kifua kizima cha mkuu wa shule na kujikuta nikibadilisha mapozi ya miguu yangu kwani koki yangu nzima imesimama kiasi kwamba nikahisi ushirikiano wake na boxer unaanza kuwa mgumu
 
Mfanyakazi wa ndani akaifungua zipu ya suruali ya mkuu wa shule hapo nikajikuta nikistaajabu kwani mkuu wa shule mashine yake imelala na kushindwa kuelewa wakati wote aliokuwa akifanya mautundu kumbe mtu mzima haendi mtungi.Mfanyakazi wa ndani akaanza kuinyonya koki ya mkuu wa shule zaid ya dakika kumi ila haikusimama kabisa kiasi kwamba nikaanza kumuona mfanyakazi wa ndani akiaanza kuchoka
“Babu bwana wewe kila siku ni hivi hivi unanipandisha nye*e ila kufanya hatufanyi”
“Babu  uzee mwaya”
“Ila wewe si umeniambia kuwa hadi ustuliwe na mwanaume mwenzako ndio ina simama”
“Sasa nitamwambia nani?”
“Kwani yule uliye kuja naye si unaweza kumwambia?”
“Mmm hapo napo kuna mtihani?”
“Sio mtihani kwani wewe kila ukija unanipandisha maruhani alafu kuyashusha unashindwa na leo sinto taka kupiga punyeto nataka unipe haki yangu”
 
Nikamshuhudia mkuu wa shule  akishusha pumzi nyingi huku akionekana kuwa katika wakati mgumu kiasi kwamba hakujua afanye nini.
“Babu nenda bwana mimi leo hapa hutoke hadi unipe haki yangu”
“Sasa unadhani Eddy atakubali kuniingiza mashine yangu kwenye nanilio yangu ili yangu isimame?”
“Hilo utalijua mwenyewe ila mimi nataka sasa hivi umesha nipandisha majini ya kidigo sasa nataka uyashushe”
Mkuu wa shule machozi yakaanza kumlenga lenga na kumuona akinyanyuka kiunyonge na kuivaa suruali yake na kwaharaka nikarudi sebleni na kukaa kwenye makochi na kujiweka vizuri na kujifanya sijui ni kitu gani kinacho endelea.
“Eddy”
 
Nikageuka baada ya kuisikia sauti ya mkuu wa shule ikiniiita na kumkuata akiwa anajifunga vizuri vifungo vya shati lake na kabla hajazungumza chochote tukastukia mlango ukifunguliwa na akaingia Madam Zena huku mguu wake mmoja ukiwa umefungwa bandeji kwenye sehemu ya chini.Akaonekana kushangaa kuniona nyumbani kwake,Akamsalimia mkuu wa shule na mimi akanipa salamu huku sura yake akiwa ameikunja kidoo na akakaa kwenye sofa jengine na kuiweka pochi yake kwenye meza ya kioo na kumuita mfanya kazi wake wa ndani na baada ya dakika kadhaa mfanyakazi wake akaja huku akiwa amevalia khanga yake
 
“Mbona wageni hujawatengea vinywaji?”
“Ndio nilikuwa ninamalizia kuitengeneza juisi”
“Sasa hiyo juisi si nilikuambia kuwa uitengeneze tangu asubuhi?”
“Nilikuwa nafanya usafi dada”
“Haya kalete hiyo juisi”
Mfanya kazi wa ndani akaondoka na kutuacha tukiwa kimya huku macho yangu nikitazama mechi ya marudio ya kombe la dunia
“Zena unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri tu baba”
“Vipi maumivu maumivu?”
“Kidogo yamepungua ila ikifika mida ya saa kumi na mbili jioni huwa mguu unavuta sana”
“Pole nimeona leo nije na Eddy ili kuweza kuzitatua tofauti zilizopo kati yenu”
 
Mfanyakazi akarudi akiwa amebeba glasi tatu zilizo jaa juisi na kuziweka juu ya meza kisha akatukaribisha
“Alafu wewe Amina si nimekuambia hiyo tabia ya kushinda na khana moja mimi siihitaji?”
“Samahani dada”
“Hembu nenda kavae nguo zako....unamuonyesha nani hayo makalio yako”
Amina akaondoka kiaibu aibu na kumfanya mkuu wa shule kumtazama Amina kwa jicho la kuiba huku akisindikiza kwa muno mzito ulio mfanya madam Zena kuachia kicheko kiliho nifanya na mimi nicheke
“Mkuu muda wako umesha kwisha”
“Ahaaa wapi bado ninadai”
“Na uzee huo ukimpata mtoto kama huyo si atakuua kabla ya siku zako”
“Wapi binti kama huyo nampiga goli za kizee lazima adate na mimi”
Madam Zena akaanza kucheka kwa kicheko kikubwa na kwajinsi wanavyo taniana unaweza kusema sio mtu na bosi wake
 
“Zena hata wewe ninakuweza tena sana”
“Hahaaa haa usinichekeshe mkuu mimi utaniwezea wapi wakati hata vijana kama hao kina Eddy wananishindwa”
“Eti Eddy unamshindwa Zena?”
“Sijui”
“Haaa hujui nini sasa?”
“Haujui maana yake ni jiu tosha kwamba mimi haniwezi”
“Haaa Eddy unaniaibisha”
“Nakuaibisha na nini?”
“Si Zena anasema kuwa humuwezi”
“Ila mkuu si unaona Zena ni mgonjwa”
“Mgonjwa wapi kwani wewe unaufanya mguu au nanilio yangu”
Sote tukajikuta tukicheka kwa furaha huku mimi kicheko changu kikiambatana na swala la mkuu wa shule kushindwa kumpa haki inayo stahili Amina
“Hayo ndio mambo ninayo yahitaji nataka Eddy na Zena muwe munacheka kama hivyo ila si kuwekeana vinyongo havina msaada wowote kwenye maisha yenu”
“Mimi mbona Eddy nilisha msamehe”
“Kweli”
 
“Ndio huwa mimi sina moyo wa kumuwekea mtu kisasi”
“Eddy je umemsamehe ZENA?”
“Mimi sina tatizo naye nipo powa kabisa”
“Haya sas nawaomba munyanyuke mupeane mikono”
Tukasimama na kupeana mikono na madam Zena kisha tukakumbatiana na kila mmoja akarudi kukaa kwenye sofa lake na tukaendelea na mazungumzo ya kawaida na tukamuaga Madam Zena kisha sisi tukarudi  shule na sikuwa na haja ya kukaa sana shule nikaga na kuondoka zangu sikuweza kujua kama nitaweza kumkuta mchungaji na watu wake au laa kwani simu yangu tayari imesha zima chaji.Nikakodi bodaboda hadi nyumbani kwangu na sikuona gari la mchungaji likiwa nje kwangu zaidi ya kuusikia mziki ukitoka nyumbani kwangu.Nikashuka kwenye bodaboda na kumlipa pesa yake kufungua geti na kuingia ndani na kukuta gari ya Halda ikiwa imesimama pembeni ya mlango wa kuingilia sebleni
Nikafungua mlango namtu wa kwanza kuniona ni Rahma na kwaharaka akanikimbilia na kunikumbatia kwa furaha na tukaanza kunyonyana midomo yetu na kumfanya Halda kuanza kukunja sura yake kila nilipo mtazama.Tukaachiana na Rahma na akaonekana kunishangaa
 
“Baby mbona umekondo tofauti namwanzoni nilipo kuacha?”
“Wee acha tu kuna vimbanga kwenye hii nyumba hadi ninakonda”
“Halda alinisimulia nikamuambia kuna maji nitarudi nayo yatakayo weza kuzuia vitu vya ajabu ajabu....Alafu kuna wageni wako hapa walikuja siwaelewi elewi nikawatukana kama nini?”
“Wakoje?”
“Wamesema ni watumishi wa bwana mimi nikaona wananizingua nikawajibu mbovu”
“Ahhha wakasemehe?”
“Wakasema mkono wa bwana uwe juu yangu na nikakupigia simu ila hukuwa hewani”
“Simu yangu imekata chaji?”
“Shem mambo vipi?”
“Safi mzima”
“Mimi mzima......Jamani ngoja niondoke kuna mtu ninakwenda kumcheki?”
“Ok basi baadaye”
 
Halda akaondoka na kutuacha mimi na Rahma ambaye nikakuta tayari wameniandalia chakula na taratibu tukaanza kula huku kila mmoja akionekakana kuwa na hamu na mwenzake.Rahma akanyanyuka kwenye kiti alicho kaa na kunikalia kwenye mapaja yangu na tatibu akaanza kunipapasa kila kona ya mwili wagu.Na mimi nikaanza mautundu ya kuzichea chuchu zake huku midomo yangu ikiinyonya shingo yake hadi akaleea.Nikamnyanyua Rahma hadi chumbani kwangu na kuanza kumvua nguo moja baada ya nyingine na yeye akafanya kama nilivyo mfanyia na sote tuajikuta tupo kama tulivyo zaliwa na kazi ikaanza ya kupeana raha kiasi kwamba kila mmoja akawa na kibarua cha kufuruahisha mwenzake
Rahma akazidi kuongeza kasi ya mashambulizi ila kutokana nimesha mzoe hakunitisha sana zaidi ya mimi kuzibana sehemu zake ambazo siku zote nikimbana huwa niamshinda kwenye mechi zake.Galfa mwili wa Rahma ukaanza kukakamaa huku macho yake yakibadilia na kiini cheusi kikapotea na kukabaikia kweupe tu huku mapuvu yakiaanza kumtoka mdononi kitendo kilicho anza kunichanganya kwani tangu nimjue Rahma sikuwahi kumuaona akiwa katika hali kama hii

 ITAENDELEA

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts