Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » SEMINA YA BIA YA KILIMANJARO NA WAANDISHI WA HABARI LEO

SEMINA YA BIA YA KILIMANJARO NA WAANDISHI WA HABARI LEO

Written By mpekuaji on Thursday, May 24, 2012 | 7:35:00 PM

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe, akizungumza na Waandishi wa Habari za Michezo wakati wa semina maalum na waandishi hao kuhusu uzinduzi wa Kampeni mpya ya Bia ya Kilimanjaro, inayokwenda kwa jina la 100% Tanzania Flava, iliyoandaliwa na kampuni hiyo leo kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es Salaam.Semina hii ilifuata baada ya kumalizika kwa semina ya Wahariri wa Habari za Michezo toka vyombo mbali mbali ambayo pia ilifanyika hapo mapema leo.
Mwanalibeneke Mie na Wanahabari wengine tukifuatilia kwa Makini Semina hilo iliyoendeshwa leo kwenye kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es Salaam. 
Wanahabari toka vyombo Mbali mbali wakiwa kwenye semina hiyo.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts