Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Mashindano ya Big Brother Africa yaahirishwa Tena kwa Mara ya Pili

Mashindano ya Big Brother Africa yaahirishwa Tena kwa Mara ya Pili

Written By Bigie on Sunday, May 22, 2016 | 4:14:00 PM

 Kama ulikuwa unasubiria kuona mashindano ya Big Brother Africa basi pole sana sababu kwa mwaka huu hayatakuwepo.
Mashindano ya Big Brother yametokea kuwavutia watu wengi kutokana na kukutanisha washiriki wanaotoka mataifa mbalimbali ya Africa, huku Tanzania ikionekana kufanya vizuri kwenye mashindano hayo.
Taarifa zilizotolewa na waandaaji wa mashindano hayo kupitia M-Net wamesema kwa sasa wanajiandaa kuweka mikakati ili kuboresha mashindano hayo hapo mwakani.
 
 Mpaka sasa taji hilo la Big Brother linashikiliwa na Idris Sultani aliyefanikiwa kushinda mwaka jana na kupata zawadi ya fedha kiasi cha dola laki tatu
 

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts