Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » TANGA RAHA- Sehemu ya Arobaini na Nane ( 48 )

TANGA RAHA- Sehemu ya Arobaini na Nane ( 48 )

Written By Bigie on Thursday, April 5, 2018 | 3:44:00 PM

AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA

Nikawaomba wanipishe njia, na wakafanyahivyo hadi nikafika kwenye mlango, nikaanza kugongwa kwa nguvu ulu nikiliita jina la Rahma, gafla moshi mwingi ukaanza kutoka chini ya mlango, ulio anza kutupalia watu wote tuliopo kwenye eneo hili la mlango

ENDELEA
Moshi mwingi ukazidi kutoka ndani ya chumba alichopo mke wangu Rahma, ambaye hadi sasa hivi anapiga kekelele za kuomba msaada, nikajitaidi kuibana pumzi yangu, nisiendelee kuuvuta moshi unaotoka kwenye chumba alichopo Rahma na kuanza kuubamiza mlango kwa kutumia bega langu la mkono wangu wa kushoto, kwa nguvu zangu zote.Kelele za Rahma zikazidi kunichanganya kiasi cha kujikuta nikizidisha juhudi za kuuvunja mlango kwa kutumia nguvu zangu zote.

Wanaume wezangu wakaanza kunisaidia kufanya kitendo ninacho kifanya mimi, cha kumshukuru Mungu, mlango ukavunjika na sote tukajikuta tukianguka nao baada ya kuurukia kwa nguvu zetu zote, Moshi mwingi tukakumbana nao, ulio ambatana na moto mwingi, nikamshuhudia msichana aliyekuwa amepigwa na Rahma akipotelea kwenye moshi mwingi ndani ya chumba, wezangu hawakumuona zaidi yangu
Nikakimbilia sehemu alipo Rahma na kumkuta akiwa amelala chini, huku hajitambui,
“Rahma, Rahma”
 
Nilimuita ila hakuitika zaidi ya kuendelea kuyafumba macho yake, tukasaidiana na wezangu kumnyanyua Rahma na kumtoa nje kwa haraka na kuanza kumpa huduma ya kwanza, rahaya ya sherehe ikanipotea kabisa na kuwa ni majanga mengine ambayo sikuyatarajia kama yatatokea katika siku hii ya leo, watu wengine wakaendelea kuuzima moto uiopo ndani ya chumba ambao hadi sasa hivi chanzo chake ni nini.Hali ya Rahma ikazidi kuwa mbaya kwani mapigo yake moyo yamekuwa ya kuhesabika na ndani ya dakika moja yanaweza kupiga mara tano au saba, ni tofauti na mapigo yamoyo yanavyopaswa kupiga kwa binadamu wa kawaida.Jamaa mmoja akajitolea gari lake, tukamuingiza Rahma ndani ya gari na kumuwahisha katika hospitali ya mkoa ijulikanayo kwa jina la Bombo.Akili na mwili vyote vimechoka kwa muda mmoja, kila daktari ambaye anatoka kwenye chumba anacho ingizwa mke wangu sikusita kumzuia na kumuuliza hali ya Rahma inaendeleaje ila hawakunipa jibu la kueleweka
 
“Mungu wangu”
Nilijikuta nikianza kumkumbuka Mungu, kadri muda ulivyo zidi kwenda, ndivyo idadi ya madaktari walivyozidi kuingia na kutoka katika chumba alichopo Rahma.
“Kaka Eddy jikaze atapona tuu shemeji”
Jamaa mmoja alizungumza kunifariji, masaa yakazidi kuyoyoma na saa yangu ya mkononi inaonyesha ni saa tisa usiku na hapakuwa na na jibu lolote la kunipa matumaini juu ya mke wangu.Akatoka daktari mmoja, mzee wa makamo, akaniomba tuelekee ofisini kwake, kuna baadhui ya marafiki zangu wakataka kutufwata ila daktari akawazuida.Tukaingia ofisini mwa daktari na kuniomba nikae kwenye moja ya kiti kati ya viti vitatu vilivyomo ndani ya ofosi yake, akafungua ndirisha kuruhusu hewa kuingia ndani
 
“Dokta usinitumbulie mimacho, niambie ukweli hali ya mke wangu inaendeleaje?”
“Tulia Mr Eddy, kwanza mke wako amepatwa na tatizo gani?”
Haaa dokta unaniuliza tena mimi, wakati nyinyi ndio munapaswa kujua mke wangu amepatwa na tatizo gani?”
“Hapana usinielewe vibaya Mr Eddy, kwa maana, mke wako amepatwa na ugojwa ambao tangu niaanze kufanya kazi huu ni mwaka wa thelethini, ila sijawahi kuuona huo ugonjwa”
Maneno ya daktari yakazidi kunichanganya akili yangu, nikaendelea kumtazama daktari kwa macho makali ambayo
“Labda niende kwe….”
Kabla dokta hajamalizia akaingia nesi akiwa ameshika, bahasha kubwa yenye rangi ya kaki na kumkabithi daktari
“Mumezipiga vizuri?”
“Ndio dokta”
Nesi akanondoka na daktari akachomoa picha, iliyo pigwa na mionzi mikali ijulikanayo y kwa jina la ‘X-RAYS’.Akaitazama na kunikabathi mimi na nikaanza kuiangalia pasipo kuielewa kwani kwa jinsi ilivyo pigwa sikujua imepigwa pigwa vipi
“Ndio nini, hii doktar?”
 
“Hiyo ni picha niliyo iliyo pigwa kwenye mwili wa mke wako, na chakushangaza hatujaona mfupa hata mmojamwilini mwake, jambo ambalo hata sisi tlimetuchanganya”
“Hamujaona mfupa?”
“Ndio atujaona mfapa kwa maana, hata fuvu la ndani, kwa mke wako hatujaliona, tulihisi ni vifaa vyetu ndivyo vimekosea, ila nikajaribu kupiga tena na majibu ya picha zote zipo kama hivyo”
Doktar alizungumza huku akitoa picha nyingine nne ambazo zinafanana na pica niliyo ishika mkononi mwangu.Kwa kawaida binadamu akipigwa picha ya X-Rays nilazima aonekane na mifupa ndani, ila sivyo ilivyo kwa Rahma, mwili wake mzima umejaa nyama tupu
Gafla mlango ukafunguliwa kwa haraka na kuingia daktari mwengine akivunjwa na damu
 
“Dokta tunakuhitaji haraka”
Alizungumza na kutoka ndani ya chumba, daktari akasimama na kufungua mlango na kutoka kwa kasi, na mimi nikapiga hatua za haraka kwenda kufungua mlango ila kabla sijaufungua nikasikia sauti ya kike ikiniita kikitokea dirishani.Nikageuka na kutazama dirishani na kumkuta Regina akiwa ananichekea na kunitazama kwa macho ya dharau
“Unaona hichi kichupa, ndio dawa utakayo mtibu mke wako la sivyo utampoteza”
Regna alinionyesha kichupa chenye maji ya rangi ya kijani na kunifanya nihairishe safari yakwenda alipo mke wangu na kunifanya nitokee dirishani ambalo ni lavioo na halina nondo, ambayo inaweza kunizuia.Ragina akaanza kukimbilia kwenye majengo mengine ya hospitalini na kunifanya nianze kumfukuza kwa haraka, kitu kilicho niacha hoi ni spidi kali anayo kimbilia Regna na kila ninavyo jitahidi kumkimbiza ndivyo jinsi alivyozidi kuchanganya miguu na kuniacha umbali mrefu kiasi.Nikamshuhudia Regina akiingia kwenye moja ya jengo, ambalo sikulisoma jina lake vizuri, kabla sijaingia ikanilazimu kurusdi nyuma hatau chache kuangalia maandishi makubwa yaliyo andikwa kwa herufi kubwa zilizo kolezwa kwa ramgi nyeusi
 
(JENGO LA KUHIFADHIA MAITI, MOCHWARY)
Sikutaka kuendele kutazama maandishi mengine kwani yatanipotezea muda, nikaisikia sauti ya Regina ikiniita ndani ya chumba hicho na kunifanya niingie pasipo kuogopa, nikamkuta akiwa amesisima mbali kidogo kwenye kordo na katika pende mbili, hizi kuna mafriji makubwa ya kuhifadhia maiti.
“Njoo ukichukue kichupa, ukamuokoe mke wako mpendwa”
Regina alizungumza kwa ujasiri huku, akiendelea kuniringishia kichupa alicho kishika.Nikaanza kupiga hatua za haraka kwenda alipo sima, Regna akapiga kofi moja na taa zote, zikazima na giza totoro likatawala ndani ya chumba na kuanza kunichanganya, kwani sikumuona sehemu alipo simama
 
“Eddy”
Nilisikia sauti ikiniita nyuma yangu, nikageuka haraka ila kutokana na giza sikumuona mti yoyoye,
“Eddy”
Nikasikia sauti ukiniita upande wangu wa kulia na kunifanya nigeuke kwa haraka huku nikitazama ni wapi alipo Regina.Akaanza kucheka vicheko vikali, nikasikia mlango ukijifunga kwa nguvu, na kelele za watu kucheka zikazidi kuongezeka ndani ya chumba nilichopo.
“Shiiiiii”
Nikasikia sauti ya Regina ikiwanyamazisha wezake anao cheka nao, na wakanyamaza, gafla taa zikawaka na kumkuta Ragina akiwa amesimama mbali kidogo na nilipo mimi, huku pembeni yake kukiwa na wasichana wengine wawili wakifanana naye kwa kila kitu
“Eddy nani unampenda kati yetu”
“Nisikilize wewe, mwanamke naomba hicho kichupa nikamponye mke wangu”
 
Nilizungumza kwa ujasiri huku nikiwa nimejikaza, kisabuni
“Ohoooo, Eddy unajua mke wako alicho kifanya kwetu?”
“Najua hujui, ila ukweli ni kwamba mke wetu alikuja kwetu na kutuomba tuweze kukurudisha wewe duniani, tukampa masharti ambayo alishindwa kukuambia, na muda wa mashati hayo umepita, sasa ni kipindi cha yeye kupata shida”
“Ni masharti gani mulimpa?”
“Swali zuri sana, kwanza jitambua kwamba wewe tayari ulisha kufa, pili hiyo pumzi sisi tumekupatia udumu dumu nayo kwa muda tu ila utakufa pia”
Naweza kuwaita maregina kwani, wanazungumza kwa kupokezana akimaliza huyu anazungumza mwengine kwa sauti zinazo fanana
 
“Niambieni hayo masharti mimi, niyafanye”
“Hhaahaaaa Eddy, acha kutuchekesha, unadhani ytayaweza masharti yetu”
“Niambieni, kwani nahitaji mke wangu apone”
“Hahaaaa, mke wako ni mjinga sana”
Regina mmoja alizungumza huku akinisogelea karibu na kuanza kunizunguka taratibu, huku mkono wake mmoja akikishika kiuno changu.
“Tulimuambia mke wako, baada ya siku thelethini ya wewe kuwa hai, tunataka ule watu watano kama sadaka ya kumshukuru Mungu wetu, ambaye yupo India, na siku ya Thelathini ilikuwa ni jana, ndio maana ukaanza kubadiila kuwa joka, ila mke wako alikuzuia, na ukashindwa kubadilika.Tulitaka uwatafune wale waandishi wa habari waliokuwa mbele yako, ila ndio hivyo tena ikashindika”
 
Maneno ya Regina yakazidi kunivunja nguvu, nikabaki nikiwa ninamtazama pasipo kumjibu kitu chochote.
“Na mke wako alivyo mjinga akadhubutu kunipiga, ulidhani alikuwa akinipiga kwa kunionea wivu, la hasha, ila alikua akinipiga akihitaji nife ila masharti yavunjike ndio maana na mimi nikaamua kumumpa ungonjwa ambao hata madaktarti wamtibu wakiwa wapo uchi, hawataweza kumponya na tunampa nusu saa, pasipo wewe kutekeleza tutakacho kuambia basi mke wako, ATAKUFA”
Regina alizungumza na kuanza kucheka huku akirudi sehemu walipo simama wezake, mwili mzima ulianza kunivuja kwa jasho , japo ndani ya hili jengo kuna hewe ya baridi ila haikufua dafu katika kulizuia jasho langu kunimwagika sana.
 
“Nipo tayari kwa masharti yenu”
“Waooooo, powa baby’s tuanzeni kazi”
Regina na wezake wakaanza kufungua friji moja baada ya nyingine na kutoa maiti zilizo pata ajali tofauti tofauti, zipatazo tisa nakuziweka mbele yangu.
“Unadakika kumi na tano kuzili maiti hizi zote uzimalieze”
“Eheee……!!!??”
“Unashangaa, tena tumekupungizia adhabu mbona”
“Naona anataka kumuwekee na vikorombezo ili aweze kuzila vizuri”
Regina mmoja alizungumza na kuanza kuishika maiti moja baada ya nyingine na ndani ya dakika moja zote zikawa zinatoa vunza wengi wakubwa wakubwa, walio nona pamoja na ujiuji mzito
 
“Hapo kuna mchuzi mzuri wa kukuwezesha kula hizo maiti”
Nikabaki nikizitazama maiti za watu, hawa, kumbukumbu za mke wangu Rahma zikaanza kunijia kichwani kwangu kwa kasi kubwa hadi nikaanz akujishangaa, nikaanza kukumbuka kila aliyokuwa akinifanyia ambayo nimema kwangu.
“Eddy, muda unakwenda”
Regina mmoja alizungumza na kunifanya nipige magoti chini na kuanza kuchukua maiti moja na kuanza kuinyafuafua nyama zake, na kadri nilivyo zidi kuitafuna ndivyo mwili wangu ilivyo anza kubadilika na kuwa katika mfumo wa joka, kasi ya kuzitafuna ikazidi kuongezeka kwani Regina mmoja alikuwa na kazi ya kuniambia muda uilio badilika.Hadi inafika dakika ya kumi na tano nikawa nimeshamaliza kumla maiti wa tisa, na kurudi katika hali yangu ya kawaida ya kibidanamu huku mdomo wangu mzima ukiwa umejaa damu tupu
 
“Waoooo kazi nzuri Eddy, ila kuna mmoja wa mwisho wa kumalizia, huyo ni mtamu sana kuliko hao wote”
Regina alizungumza huku akilisogelea friji moja na kulivuta nje, na kwakusaidiana na wezake, wakautoa mwili ambao hadi wanauweka chini nikabaki nikiwa ninashangaa kwani ni mwili wangu wote.
“Huyu ni wewe,  halisi baada ya kufa wakakuleta huku ila wamejisahau na kujua wewe upo hai”
Regina alizungumza huku akiugeuza mwili wangu, ambao hauna nguo hata moja, nikaliona jeraha la kisiki kilichokuwa kimenichoma mgongoni, kipindi mkia wa joka kubwa ulivyokuwa limenipiga na kunirusha juu na kukiangukia kisiki hicho
“Jile mwenyewe, sasa au unataka tukuwekee rost kama la wengine ulio wala?”

 ITAENDELEA

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya